Michezo
Mkwasa siyo chanzo cha kuondoka, Lwandamina – Bakili Makele (+Video)
Mwenyekiti wa matawi ya klabu ya Yanga, Bakili Mohamed Makele amewaambia wana Yanga kuwa Katibu Mkuu wa timu hiyo, Charles Mkwasa siyo chanzo cha kuondoka kwa kocha mkuu, George Lwandamina na yaliyosemwa ni dhidi yake ni propaganda.