Michezo
Mo Dewji aweka sawa kauli yake baada ya kutangaza kujiuzulu Simba “Mimi ni Simba damu damu, Tuko pamoja”
Mo Dewji aweka sawa kauli yake baada ya kutangaza kujiuzulu Simba "Mimi ni Simba damu damu, Tuko pamoja"
Baada ya muwekezaji wa Simba Mo Dewji kutoa kauli tata ambayo alitangaza kujiuzu kuwa mwenyekiti wa bodi ya klabu ya Simba baada ya matokeo ya Simba dhidi ya Mtibwa ambayo yalipelekea Simba kufungwa katika mchezo wa fainali kwa goli 1-0.
Mo Dewji alipost kwamba anajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya klabu hiyo na kubakia kuwa muwekezaji tu.
Baada ya kauli yake ya jana leo asubuhi ametoa kauli nyingine kuwa kilichotokea jana ni bahati mbaya.
What happened to my accounts yesterday was unfortunate. Tuko pamoja. We’re going back to the league strong. Tunajipanga kwaajili ya ligi. Nawapongeza Mtibwa kwa kuchukuwa kombe. Mimi ni SIMBA damu damu. Nitabaki kuwa SIMBA! #NguvuMoja
— Mohammed Dewji MO (@moodewji) January 14, 2020
By Ally Juma.