Habari
Museveni bado yuko ‘imara’, apiga ‘push up’ 40 (+Video)
Rais Yoweri Museveni aamua kutoa mfano wa jinsi mtu anaweza kufanya mazoezi akiwa nyumbani na kubaki salama wakati huu ambako kuna maambukizi ya virusi vya corona.
Video inayomuonyesha Museveni mwenye umri wa miaka 75 akipiga ‘push up’ arobaini huku sauti ya mtoto ikisikika kuhesabu, imeibua gumzo mtandaoni wakidai kuwa Rais huyo bado ana nguvu.
https://www.instagram.com/p/CDgaKcchH1Z/
After work last night, I challenged my Bazukulu to an indoor work-out. We did Forty Push-ups.
Just like I have always advised, even at your own home, you can stay safe, and remain fit and healthy. pic.twitter.com/LKjqwViwlE
— Yoweri K Museveni (@KagutaMuseveni) August 5, 2020