Habari
Mwili wa Kada wa Chadema aliyeuawa waombewa (Video)
Mwili wa aliyekuwa Katibu wa Chadema kata ya Hananasif, Daniel John ukipelekwa Kanisani (Kanisa Katoliki Hananasif kwa Pinda), tayari kwa kuombewa kabla ya kusafirishwa kwenda Iringa kwa mazishi.