Michezo
Mzee Akilimali atamba ‘bado nina jeuri ya kutegemea kuutetea ubingwa wangu’ (+Audio)
Katibu wa Braza la Wazee ndani ya klabu ya Yanga, Ibrahimu Akilimali amesema kuwa licha ya kupokea kipigo cha bao 1- 0 kutoka kwa hasimu wake Simba lakini bado hajakata tamaa ya kutetea ubingwa wake wa ligi kuu Tanzania Bara.