Habari
TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imewatahadharisha wananchi na wadau wa hali ya hewa uwepo wa vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Soma taarifa kamili;