Burudani
RECAP: Nandy ameleta ubahiri kwenye video, mapungufu yake
Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz ameizungumzia remix mpya ya Nandy ya DAH.
Remix hiyo ni ya pili kwenye wimbo huo baada ya kufanya na Alikiba ambayo ilifanya vizuri zaidi.
@el_mando_tz anaeleza kuwa video hiyo ambayo Nandy amewashirikisha wasanii 7 wa Hip Hop ina mapungufu ambauo yamechangiwa na ubahili wa Nandy kwenye video.
Msikilize @el_mando_tz mwisho halafu utuambie unakubaliana naye kwa asilimia ngapi??
Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.
Host: @el_mando_tz Cameraman @samirkakaa