Habari
Ni zoezi, sio ajali ya kweli
Kaimu Meneja wa Kiwanja cha Ndege Mwanza, Seneth Lyatuu amesema ajali ya ndege katika Ziwa Victoria iliyotokea leo, ni sehemu ya utekelezaji wa zoezi la utayari kulingana na matakwa ya kisheria yanayowahitaji kufanya hivyo kila baada ya miaka miwili.