Burudani
Nusu Fainali ya Vimwana yang’ara
Katika kinyanyiro cha kumtafuta Manywele kimwana wa twanga, jana ilikuwa nusu fainali katika washiriki 19, na kubaki washiriki kumi ambao wataingia katika kinyanyiro hicho cha kumpata mshindi wa tamasha hilo kwa mwaka wa 2011.
Mmilikiwa bendi y ASET Entartaiment yenye bendi ya Twanga Pepeta, akishuhudia jinsi mchakato unavyokwenda
Mamaa Dotnata akiangalia vizuri Vimwana
Ikifika zamu ya mgongomgongo, na hawa ndiyo washiriki ambao mshindi atapatiwa duka la vipodozi lenye gharama zaidi ya milioni, maeneo ya Kinondoni Studio