BurudaniHabariMichezo

Oscar Oscar aagwa EFM

Kupitia ukurasa wa Instagram ya @efmtanzania wameandika kuwa:

“@oscaroscarjr ni mmoja wachambuzi waandamizi ambao wamekuwa nasi kwenye Sports HQ kwa miaka 7 sasa.
.
Sisi tunamshukuru kwa uchambuzi wa kina, vituko, maoni na yote aliyofanya kwenye kipindi hicho. Tunamtakia kila lenye kheri kwenye majukumu yake mapya.
.
#AsanteMzeeWaKaliua

Kwa taarifa inamaanisha kuwa Mchambuzi huyo wa masuala ya soka nchini anaagwa Rasmi na bado haijajulikana anapoelekea/alipohamia

📸 via EFM IG.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents