Burudani
P-Square kupoteza mkataba na kampuni ya simu wa mabilioni kama wakitengana
Chanzo kilichopo karibu na kampuni ya simu ya Glo ya Nigeria imeliambia gazeti la Vanguard kuwa itasitisha mkataba na P-Square iliyoingia nao tangu mwaka 2010 kama wakitengana.
Chanzo hicho kimesema mkataba wa kampuni hiyo ni wa P-Square na sio mmoja wa mapacha hao. Mashabiki wengi wanamlaumu mke wa Peter Okoye, Lola kuwa ndio chanzo cha ugomvi wa mapacha hao.