HabariMichezo

Pacome Zouzoua mchawi wa mpira

Kiungo wa Klabu ya Yanga SC Pacome Zouzoua anazidi kuwakosha mashabiki na wafatiliaji mbalimbali wa michezo ya Yanga, kwa sasa amekuwa yeye ndiye mchezaji anaevutia sana kumwangalia pindi ashikapo mpira anakuwa na maamuzi sahihi sana, Siku ya Jumamosi yeye ndiye aliyewabeba Wananchi baada ya kufungwa bao la jioni Pacome akaweza kuwatetea na kutafuta goli la kutoa hata sare kwenye Mchezo huo.

Pacome Zouzoua Roho ya Wananchi iliyopo sasa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents