Burudani
Picha: Beyonce aweka historia hii mpya
Beyonce ameweka historia nyingine ya kuwa mwanamuziki wa kwanza wa Marekani mwenye asili ya Afrika kuwahi kukava jarida la September la Vogue.
Jarida la September ni kubwa na huw ana heshima zaidi.
Hiyo ni mara ya tatu kwa mwanamke mwenye asili ya Afrika kuwahi kukava jarida hilo. Wengine ni wa supermodel Naomi Campbell na muigizaji Halle Berry.
Hiyo inakuwa mara ya tatu pia kwa mwanamuziki huyo kukava jarida la Vogue la Marekani.