Habari

Picha: Haya ndiyo magari 3 yenye gharama kubwa zaidi duniani

Haya ni magari matatu yenye thamani kubwa zaidi duniani kwa mujibu wa mtandao wa Digital Trends.

1. Koenigsegg CCXR Trevita ($4.8M)

1

Koenigsegg ni kama mgodi wa almasi utembeao kwasababu imezungushiwa na madini hayo kwenye gari zima. Zimetengenezwa gari tatu hadi sasa.

2. Lamborghini Veneno ($4.5M)

2

Limepewa jina ‘sumu’ wa watengenezaji wa Italia na lilitengenezwa kusherehekea miaka 50 ya kampuni hiyo. Kwa dola milioni 4.5 gari hii inakuwa yako.

3. W Motors Lykan Hypersport ($3.4M)

3

Gari hili la Kilebanon limeonekana kwenye filamu ya Furious 7 likigonga makwea anga (skyscrapers) matatu ya Dubai. Polisi wa Abu Dhabi wanatumia gari hili la kifahari kwenye patrol zake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents