Burudani

Picha: Jux na Mrisho Mpoto wautangaza utalii wa ndani kiaina

Wasanii wa muziki Jux pamoja na Mrisho Mpoto kila mmoja kwa wakati wake ameamua kuwa mfano kwa Watanzania kwa kutembelea vivutio vya utalii.
Jux na Mpoto

Jux ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo ‘Wivu’ aliambatana na mpenzi wake Vanessa Mdee kutembelea katika mbuga ya wanyama ya Serengeti iliyopo mkoani Arusha.

Kupitia instagram, Jux alipost picha ya Vanessa na kuandika:

Day 1 at #SasakwaLodge was nice but the Queen arrived on Day 2 so we had to upgrade for that better view #FaruFaru is almost as dreamy as her???? #Tanzania #Serengeti #Vacation

Kwa upande wa msanii wa muziki wa asili Mrisho Mpoto, alifanikiwa kuupanda mlima Kilimanjaro.

Kupitia instagram, Mpoto aliandika:

Haikua kazi rahisi, kila anaeomba anapaswa kushukuru. Nawashukuru wote mlionieombea nna mengi sana sana ya kuhadithia.Everyone who asks for Prayers must be thankful too. I Thank you so much for your prayers and good wishes. It has never been easy! I have got a lot to share with you guys.

Angalia picha mbalimbali za mastaa hao.

222

aa

aaaa

freedom_251_2_ndtv

jj

Jux

Juxr

Mpoto Kileleni

rrr

rrx4

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents