Habari

Picha: Maelfu ya waombolezaji wajitokeza kwa wingi katika uwanja wa FNB, Johannesburg, licha ya mvua inayoendelea kunyesha

Licha ya mvua inayoendelea kunyesha nchini Afrika Kusini toka asubuhi ya leo (December 10), maelfu ya watu tayari wamekusanyika katika uwanja wa mpira wa FNB wenye uwezo wa kuchukua watu 95,000 ulioko Soweto, katika jiji la Johannesburg, Afrika Kusini, tayari kwa shughuli maalum ya kihistoria ya kumuaga aliyekuwa Rais wa taifa hilo Nelson Mandela, shughuli inayoendelea hivi sasa.

SA-18

Marais mbalimbali zaidi ya 100 akiwemo Rais Jakaya kikwete, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Uhuru Kenyatta wa Kenya tayari wamewasili. Wengine ni Marais wa Marekani Barrack Obama, Bill Clinton na George W. Bush, na marais mbalimbali wa dunia wamewasili Afrika Kusini tayari kwa shughuli hiyo muhimu na ya kihistoria ambayo inaonekana moja kwa moja na dunia nzima (muda huu 12:53 hrs) kupitia kituo kikubwa cha TV cha BBC.

SA-26
Rais Kikwete katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria

SA-24
Rais wa Uganda Yoweri Museveni akiwasili Afrika Kusini

SA-22
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwasili Afrika Kusini

Sa-1
Obama na First Lady Michelle baada ya kushuka kwenye Air Force One Afrika Kusini

SA-2

SA-3
George W. Bush na mkewe Laura, pamoja na Hillary Clinton

SA-4

SA-5
David Cameron akiwa tayari uwanja wa FNB

SA-20
Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe na mkwewe Grace Mugabe

SA-21
Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo

SA-25
Malawi’s President Joyce Banda

SA-23
Pakistani President, Mamnoon Hussain

SA-19
Mmoja wa waombolezaji asubuhi ya leo akielekea uwanjani

SA-6

SA-7

SA-8

SA-9

SA-10

SA-11

SA-12

SA-13

SA-14

SA-16

SA-17

SA-18

PICHA: MAIL ONLINE, PICHA YA KIKWETE: JESTINA GEORGE

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents