Habari
Picha: Makamu wa Rais azindua ukuta wa bahari katika barabara ya Barack Obama
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amezindua Ukuta wa Bahari katika barabara ya Barack Obama wenye urefu wa mita 920 ambao umejengwa chini ya ufadhili wa Mfuko wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabia Nchi wa Dunia.
Tazama Picha zaidi:
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais