Burudani

Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnumz

Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’.

mama dee na zee

Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo kwa furaha huku wakicheka.

Kwenye picha hiyo Zari aliandika;

“Good morning, let’s take this opportunity to comment with a prayer for our parents. And those who’ve lost your parents, my heart is with you. Comment with a prayer for the good Lord to rest them in peace. This is mama Zee and mama Dee”

Bila shaka furaha za wazazi hao wa kike zitakamilika pale Diamond na Zari watafunga ndoa na kuziunganisha familia zao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents