Burudani
Picha: Mrembo huyu ana hips kubwa na umbo la kuvutia kuliko wote Kenya?
Ana umbo namba nane anawachanganya… Ama kama alivyosema Diamond kwenye Zigo Remix – Usiombe akapita na khanga, nyuma figusu majanga, ana mwendo wa kung’onya, tena alivyoshona, umbo kama katuni wa kuchora – Ni Grace Sowairina Msalame.
Msichana huyu mrembo na mama wa watoto wawili wa kike mapacha, ana umbo ambalo sio rahisi kwa mwanaume yeyote kujizuia kuacha kumwangalia.
Mrembo huyu alijipatia umaarufu kwenye utangazaji wa TV na aliwahi kuwa na cheo kikubwa kwenye kituo cha runinga cha Kiss TV. Tazama picha zake hapo chini.