Burudani

Picha: Ruby Band yatambulishwa rasmi na kuzindua video mpya

Bendi mpya ya vijana wanne, Ruby Band, imezinduliwa rasmi jana pamoja na kutambulishwa kwa video ya wimbo wao mpya ‘Noma’ ndani ya ukumbi wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Vijana wa Ruby Band akifanya yao
Vijana wa Ruby Band wakifanya yao

Akizungumza na waandishi wa habari, msemaji wa bendi hiyo, Deogratius Shija alisema anawaomba wadau na mashabiki wa muziki kuwapokea wasanii hao.

Rubby Band wakiwa na msemaji wa band hiyo, Shija
Ruby Band wakiwa na msemaji wa band hiyo, Shija

“Vijana wapo vizuri sana, wadau wapokee video mpya ya wimbo Noma, pia kuna wimbo maalum kwaajili ya kuelisha watu kuhusu mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi. Video ya Noma imeongozwa na Rashid Mrutu,” alisema Shija.

Ruby Band imeundwa na wasanii wanne, Kwea Pipa, Maya Mpogoro, C.Miner pamoja na Sumalay.

Baadhi ya wasanii wa bongo movies
Baadhi ya wasanii wa bongo movies

Duma ya Siri ya Mtungi, Shija pamoja na mdau
Duma wa Siri ya Mtungi, Shija pamoja na mdau

Vijana wa Ruby Band akifanya yao
Vijana wa Ruby Band wakifanya yao

Vijana wakionyesha uwezo wao
Vijana wakionyesha uwezo wao

Wadau walijitokeza
Wadau walijitokeza

IMG_9899

IMG_9908

IMG_9912

IMG_9918

IMG_9922

IMG_9925

IMG_9937

IMG_9938

IMG_9941

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents