Burudani

Picha za utupu za Rihanna, Gabrielle Union na Kim Kardashian zavuja

Rihanna, Gabrielle Union na Kim Kardashian wameingia rasmi kwenye msululu wa mastaa wa Marekani ambao picha zao za utupu zimevuja mtandaoni.

celeb

Mapema Jumapili ya jana picha mbili za utupu za Rihanna zilivuja kwenye mitandao ya 4chan/Reddit. Weekend hii picha za mastaa wengine wakiwemo Kim Kardashian, Vanessa Hudgens, Kate Bosworth na Hope Solo nazo zilivuja.

kim

Muigizaji wa filamu, Gabrielle Union ni mhanga wa uvujaji huo wa picha za faragha na ameazimia kuchukua hatua za kisheria.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents