Michezo
Picha/Video: Mazoezi ya mwisho ya Everton kabla ya kuwavaa Gor Mahia
Baada ya kusuburia kwa muda mrefu hatimaye Alhamisi hii majira ya saa sita jioni tutawashuhudia Everton live jijini Dar es salaam wakimvaa mshindi wa SportPesa Super Cup 2017, Gor Mahia ya nchini Kenya.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa na msisimko mkubwa kutokana wachezaji machachari wa klabu hiyo akiwemo Rooney jana kuonekana live wakipasha kabla ya mechi yao hiyo ya kirafiki. Angalia picha za mazoezi yao ya mwisho  Uwanja wa Taifa.
https://www.instagram.com/p/BWc3IPuhE3g/?taken-by=bongofive
https://www.instagram.com/p/BWc1wQ6BNZX/?taken-by=bongofive