Habari
Rais Magufuli afanya uteuzi kwa Maafisa Zimamoto
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli awapandisha vyeo na kuwateua maafisa wawili wa Jeshi la Zimamoto kuwa Makamishna.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo