Awards
Rayvanny msanii pekee kutoka Afrika aliyetumbuiza tuzo za MTV EMA 2021
Tukio lililokuwa linasubiriwa na wengi ni hili la kumuona @rayvanny akipanda kwenye jukwaa la MTV EMA kwa mara ya kwanza lakini pia akiliwakilisha bara la Afrika na taifa lake la Tanzania.
Show bora kabisa ambayo imefanyika usiku wa leo nchini Hungary.
Bofya hapa chini kutazama.
https://www.instagram.com/p/CWRZ4HgDAuY/