Burudani

Rihanna awakejeli wapenzi wake aliowahi kutoka nao

Hitmaker wa wimbo ‘Work’, Rihanna amewakejeli waliokuwa wapenzi wake kupitia ujumbe aliouandioka kwenye mtandao wake wa Instagram.

wp-1468653684244-1

Rihanna ameandika kwenye mtandao huo ujumbe unaodai kuwa hakuna hata ex-wake mmoja ambaye ameoa au kufurahia mahusiano yake.

rihanna

Ujumbe huo umeonekana kumlenga moja kwa moja Chris Brown ambaye tangu wameachana tayari ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake kadhaa akiwemo Cydney Christine, Ammika Harris, Amy Shehab, Indya Marie, Blair Pena, na wengine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents