HabariMichezo

Senegal yamuita Pape Sakho kulitumikia taifa

Mchezaji wa Klabu ya Simba, Pape Ousmane Sakho ni miongoni mwa nyota 24 waliyotajwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya  Senegal kinachojiandaa dhidi ya Msumbiji, Machi 24, 2023 hatua ya makundi ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika.

Imeandikwa na @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents