HabariMichezo

Senzo Mbatha kuwa CEO wa BFL

Ligi kuu nchini Botswana (BFL) huwenda ikamtangaza, Senzo Mbatha kuwa Mtendaji Mkuu baada ya Solomon Ramochotlhwane kujiuzulu nafasi hiyo miezi mitatu iliyopita.

Mbatha ambaye ni raia wa Afrika Kusini amewahi kuhudumu nafasi hiyo kwenye Klabu pendwa nchini za Simba SC na Young Africans kabla ya kuondoka kwake Tanzania.

Mwenyekiti wa BFL, Nicholas Zackhem Oktoba 9,2022 aliwahi kusema kuwa Rais wa Chama cha Soka nchini Botswana (BFA) Maclean Letshwiti alipendekeza jina la Senzo Mbatha ambaye CV yake inaonyesha ana uzoefu mkubwa na mchezo wa mpira wa miguu.

Imeandikwa na @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents