Habari
Serikali yalichimba mkwara mzito gazeti la Mtanzania
Kaimu Msajili wa Magazeti, Patrick Kipangula ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kutoa onyo kali kwa gazeti la Mtanzania baada ya siku za hivi karibuni kuandika habari zilizomhusu rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Magazeti hayo yalibeba vichwa ‘Safari ya JK yazuiwa uwanja wa ndege ‘ na ‘Ukweli wa safari ya JK Uarabuni.’ Taarifa hiyo inadai kuwa huo ni udhalishaji kwa rais huyo mstaafu.
Hii ni taarifa yake:
Magazeti yenye nukuu hizo yalitolewa Novemba 20 mwaka 2016 na tarehe 22 Novemba mwaka huu.
BY: EMMY MWAIPOPO