Bongo5 ExclusivesHabariMichezo

Shaffih Dauda atoboa siri Chasambi kukataa dili la Ulaya na kukimbilia Simba

Mchambuzi wa Masuala ya Soka kutoka Clouds Media @Shaffihdauda akizungumza na Bongo5 ametoa Exclusive kuhusu dili la kiungo mpya wa Simba SC Ladaki Chasambi alivyokataa dili la kwenda ulaya klabu ya RB Salzburg ya Austria na Shafih Dauda kuweka wazi amesikitishwa sana la Ladaki kuacha dili Hilo na kujiunga Wekundu wa Msimbazi Simba.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents