Burudani

Shilole ashambuliwa baada ya kusema ‘najivunia mwaka 2016 nimepata bwana mpya’

Msanii wa muziki Shilole amejikuta akishambuliwa na mashabiki wake wa muziki katika mtandao ya Instagram baada ya kuandika kitu cha utani kwamba anachojivunia ndani ya mwaka 2016 ni kupata bwana mpya.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Mtoto Mdogo’ akiwa amemshirikisha msanii wa Singeli Man Fongo, hivi karibuni kupitia birthday yake alimtambulisha mpenzi wake huyo.

Katika instagram yake Shilole aliandika

:Mwaka unaenda kuisha je kipi umefanya cha maendeleo.???? Kwa upande wangu mm maendeleo yangu nimepata bwana mpya😂😂😂😂😂 joking

Kauli hiyo iliwafanya mashabiki wa mtandao huo kuanza kumshambulia muimbaji huyo. Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wao.

Nick.mwenda
Vitu unavyovifanya leo najua baada ya miaka kumi ijayo ndo utaona faida yake au hasari zake hipo usiku hizo tatoo zitakukosti umri auludi nyuma Bali usonga mbele

Piei_raita
Enzi uko bongo movie nilikua nakukubali kinoma ila ulipoingia bongo freva umekua ni mtu wakushobokea mabwana wadogo wadogo mwishoe utanitaka na mimi

Jesikamwalongo
Angalia sana maisha yako usipende kuyumbayumba jua wewe no kioo kwa jamii,

Mbwenitegg
Sihuyo unatuonyeshA bwana Mpya maendeleo kwa upande wako Sasa hatujui kama kakuowa au bado boyfriend na girlfriend zile za usichana bado anyway good for you and life is not fun,

Fkibonde7
Hv mpk ss umekuwa na mabwana wangap na kwa nn unapenda vijana wadogo na unahic watoto wako wanajifunza nn toka kwako.

osca_john

Kunakipindi pesa sikitu jitaidi kuzingatia umakini usipagawe naustaaaa tulia tafakari usileweshwe nasifa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents