Ulipitwa? Tazama hapa habari mpya kutoka vituo vya televisheni vya Tanzania (Video)
Waziri wa habari na sanaa Mh. Nnauye emelifungia gazeti la mawio kutokana na kuandika habari zinazochochea uvunjifu wa amani:
Maaskofu wa kanisa Katoliki wameomba viongozi serikalini kufanya maamuzi magumu na yenye busara juu ya hali ya kisiasa Zanzibar:
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh. Jafo amewahimiza watendaji mkoani Morogoro kufanya kazi ili kupunguza malalamiko kwa wananchi:
Jeshi la polisi mkoani Iringa linawashikilia wahamiaji haramu 83 kutoka nchini Ethiopia na kufanya taratibu za kuwarudisha nchini kwao:
Jifunze mengi kutoka kwa mtaalamu na mshauri wa masuala ya kilimo akikufahamisha kuhusu kilimo cha kisasa cha shamba kitalu: https://youtu.be/QNyvrBc242E
SIMU.TV: Mshuhudie Mh. Tindu Lisu akikuchambulia mengi kuhusiana na uchaguzi wa mwaka 2015 na utendaji wa Rais Magufuli:
Fahamu mengi kutoka kwa mchambuzi Kheri James akikufahamisha kuhusu utaratibu na malipo ya fidia ya ardhi:
Yajue mengi kutoka kwa wadau wa idara ya uvuvi wakikujuza kuhusu maboresho ya ukusanyaji wa maduhuli katika sekta ya uvuvi kwa kutumia mfumo wa kieletroniki:
Fahamu mengi kutoka kwa wadau wa mifuko ya hifadhi ya jamii wakikujuza kuhusu ZZF walivyojipanga kuwa na mradi wa majengo: