Habari
Upinzani kwa sasa unanifaa – Mh. Nyalandu (+Video)
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa kundi la watu wa upinzani kwasasa hivi lina mfaa huku akisema kuwa anaenda Chadema akiwa hana simanzi: Mtazame kwenye video hii akieleza: