Michezo
Video: Mashabiki wa Simba wabaki na Mo, wasisitiza Kazi iendelee
Mashabiki wa Klabu ya @simbasctanzania wamejitokeza na kuzungumza na vyombo vya habari kuhusiana na kile ambacho kinaendelea baada ya kuondoka kwa aliyekuwa Afisa Habari Haji Manara na kusisitiza kuwa kama mashabiki wapo nyuma ya Muwekezaji wao Mo Dewji na kusema kuwa KaziIendelee
“Sisi tunamuunga mkono @moodewji na tunamuambia asichoke. Simba Day itakuwepo na uwanja utajaa kama kawaida.”- Kaauli ya Mashabiki wa @simbasctanzania