Siasa
Kibatala: Kesho Mbowe wanaletwa mahakamani (+ Video)
Mmoja ya wakili katika kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. Freeman Mbowe anayejulikana kama Peter Kibatala akizungumza na wana habari kuhusu yaliyojiri katika mahakama ya Kisutu na mambo mengi kesi kufanyikia mtandaoni.