Burudani

Video: Msanii wa Ujerumani amsifu Diamond na Fid Q kwa hili

Msanii mwenye asili ya Kijerumani anayefanya muziki wake Kisiwani Zanzibar, Badawi Powa amemsifu Diamond Platnumz na Fid Q kwa kuutangaza muziki wa Tanzania kimataifa. Pia msanii huyo ameeleza mipango yake ya kufanya muziki hapa nchini na tayari ameanzisha studio ya kurekodia muziki huo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents