Burudani
Nay wa Mitego awaita Wolper, Nisha na Shilole wakwapuaji wa wasanii chipukizi (Video)
Rapper asiyeishiwa vituko, Nay wa Mitego, amewatupia vijembe wasanii wa kike wa bongo movie wanaopenda wasanii wa Bongo Fleva wanaochipukia na kuhit redioni.
Kupitia video aliyoipost kwenye account yake ya instagram amewataja warembo hao kuwa Jacqueline Wolper, Nisha pamoja na Shilole. Amesema wasanii hao ni kiboko kwa kukwapua wasanii wadogo ambao single zao zinafanya vizuri.
Mtazame hapo chini.