Videos
Video: Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ala mweleka wakati akishuka ngazi
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe mwenye umri wa miaka 90 amekamatwa kwenye camera katika tukio la kuanguka chini wakati akishuka ngazi mbele ya halaiki.
Mzee huyo alikuwa akihutubia wafuasi wake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Harare na alikuwa akishuka kuelekea kwenye gari lake na kujikuta akijikwaa na kuanguka chini.
https://www.youtube.com/watch?v=ngK2mgrarxw
Baadhi ya wapiga picha waliopata picha zake wakati akianguka walilazimishwa kufuta picha hizo na walinzi wake.