Unakumbuka goli bora la Kibu Denis kwa Watani Yanga SC, Kikosi cha Mnyama kikiwa chini ya Robertinho wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0.
Tunaizungumzia Yanga ambayo ina kikosi Bora kwa sasa kwenye Ligi Kuu ya Nbc, Timu ambayo imetwaa Ubingwa wa Back to back lakini imeshindwa kumfunga Simba SC ya Robertinho.
Rekodi Bora ya Mbrazil Robertinho hajawahi kufungwa na timu yoyote ya Ligi Kuu tangu asaini Mkataba na Wekundu wa Msimbazi ‘Elewa neno timu yoyote’
Simba ya Robertinho iliifunga Wydad Casablanca kwenye uwanja wa Lupaso, Wydad ambayo msimu huo ilikuwa yamoto iliingia Fainali ya Ligi ya Mabingwa na kukutana na Al Ahly.
TAKWIMU zina mbeba Robertinho, Ni Kocha Bora na anastahili kuendelea kubaki Simba SC