Burudani
Video: Ujumbe wa kwanza wa Irene Uwoya toka afariki Ndikumana
Leo ni siku ya tano toka afariki na kuzikwa aliyekuwa kapteni wa timu ya Taifa ya Rwanda, Hamad Ndikumana ambaye pia alikuwa ni mume wa muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Irene Uwoya.
Mrembo huyo wa filamu hakuwahi kueleza chochote hata kupost ujumbe wowote kuhusiana na tukio hilo.
Weekend hii Irene alipost video ya wimbo “My Trust Is In You” ulioimbwa na muimbaji wa injili, David G.
https://www.instagram.com/p/BbmCdPbHWyi/?taken-by=ireneuwoya8
Irene na Marehemu Ndikumana walifanikiwa kupata mtoto mmoja.