Habari

Waziri Makamba ametengua uteuzi wa wajumbe 7 bodi ya NEMC

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira,January Makamba ametengua uteuzi wa wajumbe wote saba wa bodi ya NEMC na kumteua Dkt. Elikana Kalumanga (UDSM) kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu.

Soma taarifa kamili:




Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents