Habari
Waziri Mkuu athibitisha malipo ya Ndege tatu yamekamilika (+ Video)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu, mbili zikiwa ni aina ya #AirBus na ndege hizo zinatarajiwa kuwasili nchini kati ya mwaka 2021/22 na kufanya serikali kuwa na jumla ya ndege 12.