Michezo

Abbas Pira atoa achambua sababu za kiufundi kutimuliwa Zahera ”Kama inashindana na Simba, Yanga ilete kocha kutoka wa nje ya nchi” (+video)

Mchambuzi wa soka nchini Abbas Pira amejaribu kuchambua sababu za kiufundi zilizopelekea  Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Mwinyi Zahera kutimuliwa, huku akiamini kama timu hiyo inahitaji kushindana na Simba SC ipo haja ya kuleta Mwalimu kutoka nje ya Nchi.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents