Michezo
Anthony Joshua aomba hili kwa Prince Harry
Kama ungekutana na Prince Harry katika kipindi hiki ungemwambia nini?
Bahati hiyo amekutana nayo bondia Anthony Joshua wiki hii katika kituo cha habari cha BBC Radio 4. Joshua amempongeza Prince Harry kwa kumvalisha pete mpenzi wake Meghan Markle na pia amemtania kwa kumuomba ampatie nafasi ya usaidizi katika ndoa yake.
Bondia huyo amethibitisha hilo kupitia ujumbe alioandika kwenye mtandao wa Instagram unaosomeka, โBack to work this morning! Congrats on everything this year & no pressure on the R4 guest edit! ๐ P.s. Need a best man? ๐คท๐พโโ๐ ๐.”
Ndoa ya Harry na Markle inatarajiwa kufungwa Mei 19, 2018 huko St. Georgeโs Chapel, Windsor Castle nchini Uingereza.