Habari
Aua wanawake wanne kwa gobole kwenye mall nchini Marekani
Mwanaume aliyekuwa na gobole aliingia kwenye duka la moja katika mall ya huko Washington na kuua wanawake wanne kisha kutokomea gizani.
Mauaji hayo yametokea kwenye mall ya Cascade huko Burlington na kumwacha mwanaume mmoja akiwa amejeruhiwa.
Mamlaka zinasema ni mtu mmoja tu aliyehusika katika tukio hilo na wanamtafuta. Watu walionusuruka walipelekwa katika kanisa lililokuwa jirani.