Siasa
Baba Levo atangaza nia kugombea Ubunge jimbo la Zitto ” Yeye anautaka Urais, Kigoma mjini hatutaki mamluki” – Video
Diwani wa kata ya Mwanga Kigoma mjini @officialbabalevo ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Kigoma mjini.
@officialbabalevo ametangaza nia akisema kuwa ameona kama Mh. @zittokabwe anautaka Urais hivyo yeye ndiye akatayeridhi mikoba ya @zittokabwe KIGOMA MJINI maana hawataki mamluki.