Michezo

Bao la nyumbani laibeba Yanga SC dhidi ya St Louis

Mabingwa wa tetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Young Afrcans imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa Afrika baada ya kulazimishwa sare ya bao 1 – 1  dhidi ya St Louis huko Shelisheli

Yanga SC imepata bao hilo kupitia kwa mchezaji wake Ibrahim Ajib katika kipindi cha kwanza wakati St Louis wakipata bao lake kipindi cha pili.

Yanga SC imefanikiwa kusonga mbele baada ya kujikusanyia jumla ya mabao 2 – 1 baada ya mchezo wa awali kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1 -0 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents