Michezo
BOLTON WAMNASA YOSSO WA REAL
Bolton imefanikiwa kumsajili beki Yosso wa kushoto wa Real Madrid,Marco Alonso na kumpa mkataba wa miaka mitatu bila kutaja kiasi cha ada ya uhamisho.
‘Wakati tukiwekeza kwenye usajili nataka tufanye hivyo kwa wachezaji chipukizi na wenye vipaji’ alisema kocha wa Bolton Owen Coyle kupitia tovuti ya klabu hiyo.