Videos
Bongo5 Media Group yachangia ‘Diva Giving For Charity’ kusaidia watoto yatima, sikukuu ya Eid
Asubuhi ya leo, Bongo5 Media Group imewasilisha mchango wa shilingi laki tano kwa ajili ya kusaidia kufanikisha shughuli ya kuwatembelea watot yatima wa kituo cha New Life Orphanage kilichopo Kigogo.
Msaada huo uliofikishwa na Ramadhani Nnauye wa Bongo5, unatarajiwa kusaidia katika manunuzi ya mahitaji tofauti ya watoto hao na kuwapa faraja kwenye sikukuu za Eid.
Diva alitoa shukrani zake kupitia ukurasa wake wa Twitter na kusema,
Will have @bongofive in Diva givin for charity tommorrow! U guys BEEN great support kusema za ukweli , mbarikiwe sana!
— Divatheebawse (@Divatheebawse) August 17, 2012
Pamoja sana.