Burudani

Diamond awasha taa nyekundu Instagram

Diamond anazidi kufurahia mafanikio anayoendelea kuyapata kila kukicha.

Msanii huyo kutoka WCB amekuwa staa wa kwanza Bongo kufikisha followers milioni 4 kwenye mtandao wa Instagram.

Furaha hiyo ya Diamond inasindikizwa na bashasha la kuona wimbo wake mpya aliouachia kwa kushtukiza ‘Hallelujah’ ambao amewashirikisha kundi la Morgan Heritage kutoka Jamaica, kufanikiwa kutazamwa zaidi ya mara laki sita kabla ya masaa 24 tangu alipouachia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents