Diamond, Lady Jaydee na Profesa Jay kuchuana kwenye Kisima Awards 2012
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Kisima za mwaka 2012 nchini Kenya yametoka. Katika kipengele cha ‘East African Recognition’ Profesa Jay, Diamond, Lady Jaydee na TMK (hawajaandika ni ipi) wametajwa kuwania tuzo hizo.
Wasanii hao wa Tanzania watachuana na wasanii wengine wa Uganda akiwemo Jackie Chandiru, Dynamiq na Chameleone waliotajwa pia kwenye kipengele hicho.
Hii ndio orodha ya wasanii wa Kenya waliotajwa kuwania vipengele mbalimbali kwenye tuzo hizo.
Artiste / Group of the Year:
Octopizzo
Daddy Owen
Nameless
Camp Mulla
Nonini
Video of the Year Category:
Nonini – Colour Kwa Face
Nameless – Coming Home
Daddy Owen – Mbona
Juliani – Exponential Potential
Rabbit – Swahili Shakespeare
Collaboration of the Year:
Alicio / Juliana
P-Unit / Sauti Sol
Daddy Owen / Denno
Longombas / Mr. Vegas
Keko / Madtraxx
Boomba Artiste Category:
Avril
Amileena
DNA
GrandPa Family
Habida
Prince Davis
Q Tasi
Mejja
Size 8
Hip Hop Category:
Nonini
Juliani
Octopizzo
Gospel Artiste of the Year:
Daddy Owen
Eko Dydda
Eunice Njeri
Mastar Piece
Emmy Kosgei
Willy Paul
Ragga/Reggae Category:
Longombas
Fireson
Kevo Yout
Wyre da Lovechild
Daddy Owen
Urban Artiste / Group Category:
Just a Band / Nonini
Camp Mulla
Boneless
Muthoni the Drummer Queen
Yvonne Darko
Nariki
Fusion Artistes Category:
Wahu
Anto Neosoul
Dan ‘Chizi’ Aceda
Sanaipei
Juliet
Judith Bwire
Benga Artiste of the Year:
Judith Bwire
Kamande wa Kioi
Wa Kahalf
Otieno Aloka
Wa Othaya
Vincent Ongidi
Upcoming Artiste of the Year:
Anto Neosoul
Camp Mulla
Nariki
Xtatic
Yvonne Darko
Alicio